Home » Highlights » Bi Kidude Atunukiwa Nishani na Rais Kikwete katika sherehe za Uhuru


Bi Kidude Atunukiwa Nishani na Rais Kikwete katika sherehe za Uhuru

Posted: 11 Dec, 2012

Katika kuadhimisha miaka 51 ya uhuru wa Tanzania jana Rais Jakaya Kikwete amemtunuku Nishani ya Sanaa na Michezo muimbaji mkongwe wa muziki wa Taarab nchini, Bibi Fatma Binti Baraka Khamis
(Bi. Kidude) kwa mchango wa kipekee kwa taifa la Tanzania katika nyanja ya sanaa.

Pamoja na Bi. Kidude, watu wengine katika makundi mbalimbali wametunikiwa nishani za heshima katika halfa iliyofanyika jana kwenye viwanja vya Ikulu

Bi Kidede akivishwa nishani
Rais Kikwete akimvisha Nishani ya Sanaa na Michezo Bi Kidude

Bi Kidede akimpongeza kwa kupewa nishani hiyo
Rais Kikwete akimpongeza mara baada ya kumpa Nishani ya Sanaa na Michezo Bi Kidude

Reviews / Comments

 
 
 

ABOUT US

BongoCinema.com is a one-stop online shop offering a huge variety of Bongo Movies on DVDs and Videos from Tanzania ...

Read More

HELP CENTRE and FAQ

# How do I make an order? # How long will it take to receive my order? # What Payment Options do I have? # Cancel my order? ...

Read More

Our Products

Action; Adventure; Comedy; Crime; Documentary; Drama; Educational; Family; Fantasy; History; Horror; Musical; Romance; Spiritual...

Read More

Comments /Maoni

John said, "I think I saw one of those bongo movie … you know those movies of the week. ... toa maoni yako kwenye bongo movie...

Read More