Home » Highlights » Sharo Millionaire a.k.a Hussein Mkiety Afariki Dunia mjini Tanga
Sharo Millionaire a.k.a Hussein Mkiety Afariki Dunia mjini Tanga
Posted: 27 Nov, 2012Msanii wa muziki na filamu za vichekesho Hussein Ramadhani Mkieti a.k,a SHARO MILLIONAIRE - Amefariki usiku wa tarehe 26 kwa ajali ya gari iliyotokea alipokuwa akielekea Tanga nyumbani Kwao.
Msanii wa muziki na filamu za vichekesho Hussein Ramadhani Mkieti a.k,a SHARO MILLIONAIRE - Amefariki usiku wa tarehe 26 kwa ajali ya gari iliyotokea alipokuwa akielekea Tanga nyumbani Kwao.
Msanii huyo aliyekuwa anakuja juu kwa kasi ya ajabu kwa umahiri wake wa muziki wa kizazi kipya pamoja na matangazo ya biashara aliyokuwa akifanya na msanii mkongwe mzee Majuto katika kutangaza Airtel Money
Maelezo Zaidi ya Sharo Millionare Hapa
https://www.bongocinema.com/index.php/casts/view/hussein-mkiety